Posts

Showing posts from September 23, 2019

Rekodi za Zlatan Ibrahimovic baada kufikisha miaka 30

Image
Zlatan ibrahimovic baada ya kufikisha miaka 30  na kuondoka katika klabu ya manchester united, kwa sasa anacheza soka la kulipwa nchini marekani kunako klabu ya LA Galaxy. Baada ya miaka 30 hizi ndizo rekodi alizoweka zlatan ibrahimovic "super ibra"