Posts

Showing posts from August 4, 2019

BASI LA KAMPUNI YA HOOD LAPATA AJALI

Image
BreakingNews ‬   ‪Basi la kampuni ya Hood lenye namba T 779 AVL lililokuwa likitokea mkoani Arusha kuelekea Mbeya limepata ajali katika kijiji cha Uchira wilayani Moshi.‬   ‪Ajali hiyo imetokea majira ya saa 1:30 asubuhi na abiria wote wako salama.‬