Posts

Showing posts from July 26, 2019

UWANJA MPYA WA KLABU YA EVERTON

Image
Uongozi wa klabu ya everton timu inayoshiriki ligi kuu nchini uingereza umetangaza kuanza ujenzi wa uwanja mpya. Uwanja huo wa kisasa utaanza ujenzi rasmi mwakani 2020  na u akadiriwa kua na uwezo wa kubeba mashabiki zaidi ya 53000. Uwanja huo wa kisasa unatarajia kujengwa ufukweni katika mji wa mersey na unatarijia kuanzia kutuma msimu wa 2023/2024.

ARSENAL FC WAFANIKIWA KUMSAJILI BEKI WA ST.ETIEENE

Image
Klabu ya Arsenal Fc wamefanikiwa kunasa saini ya beki wa kati kutoka klabu ya St.etiene lakini beki huyo atasalia klabuni st.etiene kwa mkopo wa mwaka mmoja