Jurgen Klopp achaguliwa kocha bora wa mwezi na Pukki mchezaji bora

Meneja wa klabu ya liverpool ya jijini London ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi wa nane baada ya kuwapiga chini makocha wa Totenham,Manchester united na Manchester city, Timu ya liverpool imecheza michezo minne na kushinda mechi zote 4. Upande mwingine mshambuliaji wa klabu ya Norwich city Teemu pukki ameahindi tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa nane baada ya kucheza mechi 4 na kufanikiwa kufunga magoli 5 katika michezo hiyo.