Posts

Showing posts from September 18, 2019

Golikipa ya Bayern munich Manuel Neur atangaza kustaafu soka baad ya msimu ujao

Image
Golikipa wa Bayern Munich Manuel Neur(33) amesema anafikiria kustaafu soka la ushindani ya kumalizika kwa msimu ujao. Manuel Neur ambaye ameitumikia Bayen Munich na timu ya taifa ya ujerumani kwa mafanikio makubwa anaamini muda huo utakua muda muafaka kwake kuachana kabisa na masuala ya soka la kulipwa.

Matokeo ya mechi zote za UEFA hatua ya makundi

Image
Mechi za michuano ya UEFA champions league hatua ya makundi zimemalizika na tumeshuhudia Mbwana samatta amabae ni  mtanzania wa kwanza kushiriki michuano hiyo akifunga goli akiwa na timu yake ya Genk. Yafuatayo ni matokeo ya mechi zote za michuano hiyo kwa hatua ya makundi