Posts

Showing posts from September 25, 2019

Rais Magufuli amteua rais mstaafu Mwinyi kua mkuu wa chuo MUHAS

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi kuwa  Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS).   Mhe. Mwinyi ameteuliwa kuendelea na wadhifa huo kuanzia leo September 25, 2019.