MBOSSO AMJIBU MWIJAKU KWA KEJELI
Maneno hayo yamekuja baada ya Mbosso kusema kuwa sasa hivi ameacha kupost vitu vyake vya kimaendeleo kwa sababu akipost kuna watu wanadandia na kuanza kuongea wasiyoyajua.
Alipoulizwa na Mwandishi wa habari kwahiyo umeacha kupost sababu ya Mwijaku', Mbosso alijibu "Siwezi kumuogopa mwanaume mwenye kipara maishani mwangu"
www.bongofacts.com
Comments
Post a Comment