Kikosi cha Simba leo dhidi ya Mtibwa sugar



Klabu ya Simba imetoa kikosi kitakachocheza leo dhidi Mtibwa sugar, kikosi hicho kina wachezaji 11 na 7 wa akibaki kikiwa kinaongozwa na Nahodha  Mohammed hussein, Mchezo huo utachezwa uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.




Comments