Simba yaiadhibu kagera sugar ya bukoba 3-0



Timu ya Simba SC imeibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom. 

Mshambuliaji wa Simba , Medie Kagere ndiye alikuwa wa kwanza kutikisa nyavu za Kagera Sugar kunako dakika ya 5 ya mchezo na dakika ya 79 akafunga la pili kwa mkwaju wa penalti, goli la pili la Simba lilifungwa na Mohamed Hussein dakika ya 35. 

Comments