Timu ya yanga wamegoma kuweka nembo nyekundu kwenye jezi zao, nembo ambayo ni ya mdhamini wa ligi kuu Tanzania bara Vodacom.
Yanga imesema kua hawawezi kufanya hivyo kwasababu wana katibu ya timu na hairuhusu kuweka nembo au rangi nyekundu kwenye jezi zao.
Tazama video
Comments
Post a Comment