Golikipa ya Bayern munich Manuel Neur atangaza kustaafu soka baad ya msimu ujao
Golikipa wa Bayern Munich Manuel Neur(33) amesema anafikiria kustaafu soka la ushindani ya kumalizika kwa msimu ujao.
Manuel Neur ambaye ameitumikia Bayen Munich na timu ya taifa ya ujerumani kwa mafanikio makubwa anaamini muda huo utakua muda muafaka kwake kuachana kabisa na masuala ya soka la kulipwa.
Comments
Post a Comment