Paul Makonda akabidhi milioni 10 kwa golikipa Juma kaseja



Mwenyekiti wa hamasa ya timu ya taifa (Taifastars) ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam  Paul makonda leo hii amemkabidhi golikipa wa taifastars Juma kasejaahadi aliyoitoa jana ya kumpa  kiasi cha shilingi milioni kumi 10 baada ya kuwa nyota wake wa mchezo wa jana uliochezwa dhidi ya burundi.

Mchezo wa jana ulimalizika kwa Taifastars kufuzu hatua ya makundi baada ya kuiondoa burundi kwa mikwaju ya penati.

Comments