HOME OF UPDATES AND TRENDING NEWS.
Entertainment I Sports l Politics I Gossip l Football News
Shabiki wa Yanga atembea kwa miguu hadi zambia kuangalia mpira
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
-
Mwanachama na shabiki wa klabu ya Yanga leo ameanza safari ya kutembea kwa mguu kutoka Iringa kwenda Zambia kwa ajili ya mchezo wa marudiano kati ya Zesco United na Yanga mchezo ambao utachezwa September 26 katika dimba la Levvis Mwanawasa Stadium
Comments
Post a Comment