WASANII WANAOWANIA TUZO ZA SOUNDCITY MVP AWARDS





Majina ya wasanii ambao watawania tuzo ya SoundCity MVP Awards 2018 yametangazwa jana katika Website ya www.soundcitymvp.com na huku yakiwemo majina ya Wasanii wakubwa Kwenye muziki barani Africa na Kukiwa na mchuano mkali Kutokana na aina ya kazi ambazo wamekuwa wakizifanya kwa mwaka Huu wote 

Katika List hiyo Majina Mbalimbali yametajwa na Wasanii Kutoka Tanzania Wamepenya Kwa Asilimia Kubwa … Wasanii Kama vanessamdee ,mbosso ,harmonize_tz ,mauasama ,navykenzoofficial na diamondplatnumz 

Tuzo Hizi zitatolewa tarehe 05 Mwezi wa Kwanza 2019 Katika Ukumbi wa EKO Convention Centre Huko Nchini Nigeria . 

NA HIZI NI BAADHI YA CATEGORY AMBAZO MAJINA YA WATANZANIA WANAOWANIA TUZO HIZI WAMETAJWA : 👇 

BEST MALE MVP : 
Nasty C 
Cassper Nyovest 
Davido 
Wizkid 
Burna Boy 
#DiamondPlatnumz 
Mr. Eazi 
Olamide 
AKA 
#Harmonize 
Shatta Wale 

BEST FEMALE MVP: 
Busiswa 
Simi 
Niniola 
Tiwa Savage 
Yemi Alade 
Efya 
Shekhinah 
#MauaSama 
Lady Zamar 
Becca 

BEST POP: 
#DiamondPlatnumz 
Fally Ipupa 
Kizz Daniel 
Davido 
Mr. Eazi 
Wizkid 
Yemi Alade 
Tiwa Savage 
Mayorkun 
Kuami Eugene 

BEST COLLABORATION 
#Jibebe – WCB ft Diamond Platnumz, Mbosso & LavaLava 
#Katika – Navy Kenzo ft Diamond Platnumz 
Said – Nasty C & RunTown 
Makhe – Dj Maphorisa 
Spirit – Kwesta ft Wale 
FakeLove – Wizkid 

DIGITAL ARTIST OF THE YEAR : 
Cassper Nyovest 
Tiwa Savage 
Yemi ALade 
Wizkid 
Davido 
Mr. Eazi 
#VannesaMdee 
Falz 
Burna Boy 
#DiamondPlatnumz 

SONG OF THE YEAR 
#Katika – Navy Kenzo 
#Kwangwaru – Harmonize 
#AfricanBeauty – Diamond Platnumz 
Short & Sweet – Sauti Sol 
Assuarance –  Davido 

BEST GROUP 
#Navy Kenzo 
Toofan 
Sauti Sol 
Distruction Boyz 
R2Bees 
Mafikizolo 
GoldFish 
Micasa 
Reggie N Bollie 

BEST NEW ARTIST 
#Mbosso 
Kidi 
Sho Madjozi 
Kwesi Arthur 
Odunzi 
Teni 
Peruzzi 
King Promice 

BEST PRODUCER 
KEL P 
DJ TIRA 
#NAHREEL 
JULZ 
SARZ 

AFRICAN ARTIST OF THE YEAR 
#DiamondPlatnumz 
Yemi Alade 
Tiwa Savage 
Cassper Nyovest 
Davido 
Wizkid 
Olamide 
Burna Boy 
Nasty C 
AKA 
Sarkodie 

Comments